Msanii wa wiki

Msanii wa wiki
Msanii wa wiki - Aunt Ezekiel

Tangazo

Tangazo 2

Thursday, January 23, 2014

Mjue Msanii wako - JB










Jacob Steven maarufu kama JB ni msanii nguli wa filamu Bongo. JB alisoma shule ya msingi Forodhani, alikohitimu mwaka 1984 na baadaye kujiunga na Sekondari ya Popatlal ya Tanga hadi mwaka 1988 na baadaye kidato cha tano na sita ambapo alisomea masomo ya Uchumi na Biashara.




Jacob Steven a.k.a JB






Jacob Steven a.k.a JB akiwa na mke wake







Jacob Steven (JB) akiwa na wasanii wenzake, Vicent Kigosi a.k.a Ray (kushoto) na Suzan Lewis a.k.a Natasha (katikati)







Msanii Jacob Steven a.k.a JB akisherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa




















Mjue Msanii wako - Dr. Cheni









Mahsein Awadhi maarufu kama Dr. Cheni ni msanii nguli wa filamu Bongo. Dr. Cheni amezaliwa katika hospitali ya Ocean Road jijini Dar es salaam. Amesoma katika shule ya msingi Msimbazi kisha Sekondari katika shule ya Jabal iliyopo Morogoro ambapo aliishia kidato cha pili na kurudi Dar na kuhitimu masomo yake katika sekondari ya Msimbazi. Mwaka 1997 alijiunga na chuo cha kukuza vipaji cha Splendid kilichopo Ilala, Dar.

Dr. Cheni ameoa na ana watoto. Dr. Cheni amefanya filamu nyingi sana kama vile, too late, why me na one by one.




Dr. Cheni





Dr. Cheni





Dr. Cheni





Dr. Cheni





Dr. Cheni akiwa na mke wake Sabrina





Dr. Cheni akiwa na Masele






Dr. Cheni akiwa na wasanii wenzake, JB (katikati) na Cloud (kulia)





Dr. Cheni akiwa na msanii mwenzake Elizabeth Michael a.k.a Lulu





Dr. Cheni (wa pili kushoto) akiwa na wasanii wenzake na washika dau wa filamu





Dr. Cheni na Sauda Mwilima








Dr. Cheni akiwa na msanii mwenzake Elizabeth Michael a.k.a Lulu








Dr. Cheni akiwa na msanii mwenzake JB pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete






Dr. Cheni akiwa na wasanii wenzake, Vicent Kigosi a.k.a Ray, Ben Kinyaiya na Steve Nyerere







Dr. Cheni akiwa na wasanii wenzake







Dr. Cheni akiwa na msanii wa Bongo movie Vicent Kigosi a.k.a Ray The Greatest (Katikati) na Chidi Benz (kulia)






Dr. Cheni akiwa na wasanii wenzake