Msanii wa wiki

Msanii wa wiki
Msanii wa wiki - Aunt Ezekiel

Tangazo

Tangazo 2

Wednesday, July 24, 2013

Ndoa za wasanii wa Bongo - Jackline Pentezel (Jack wa Chuzi)



Msanii wa Bongo movies Jackline Pentezel (Jack wa Chuzi) akiwa na mume wake bwana Gadner Dibibi siku ya ndoa yao iliyofanyika mwezi March 2013 jijini Dar es salaam.



Jackline Pentezel (Jack wa Chuzi) akiwa na mume wake bwana Gadner Dibibi siku ya ndoa yao iliyofanyika mwezi March 2013 jijini Dar es salaam.


Msanii wa Bongo movies Jackline Pentezel (Jack wa Chuzi) akisaini cheti cha ndoa huku mume wake bwana Gadner Dibibi akiangalia.


Jacky akitunzwa fedha siku ya ndoa yake


Jackline Pentezel akiwa na wifi yake

No comments:

Post a Comment